INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Monday, February 2, 2015

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI EDSON MWASABWITE ATUMBUIZA KATIKA UZINDUA WA FILAMU YA DINI YA PETER LUSE, MZEE MAGALI

Mwimbaji maarufu sana wa nyimbo za Injili Tanzania aliweza kushusha wingu la uwepo wa Mungu katika zoezi la kuzindua filamu ya dini ambapo WASANII wa filamu nchini, Peter Luse, Mzee Magali na Stanley Msungu walizindua filamu ya dini inayotambulika kwa jina la Behind The Pastors.
Peter Luse, Edson Masabwite na Mzee Magali wakicheza muziki.

Uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa Princess Hall, Sinza-Mapambano, jijini Dar, ambapo mtunzi wa filamu hiyo alisema madhumuni ya kuandaa filamu hiyo ni kubainisha changamoto wanazokutana nazo watumishi wa Mungu kama visa, ugomvi wa madhabahuni na ushirikina.

Baadhi ya watu waliohudhuria uzinduzi huo.

Mzee Magali akicheza muziki na mashabiki wake.

Bendi ya muziki wa injili kutoka katika kanisa la Nchi ya Ahadi ikitumbuiza.

Mtunzi wa filamu ya Behind The Pastors, Peter Luse akiongelea changamoto za filamu hiyo.

Stanley Msungu akizundua rasmi filamu kwa waalikwa.

No comments:

Post a Comment