INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Wednesday, February 25, 2015

MONALISA, BANANA WAPATA AJALI KAZINI

HAMIDA HASSAN/Mchanganyiko
MASTAA wa filamu ya Daddy’s Wedding, Yvone Sheryl ‘Monalisa’, Banana Zoro, Sandra, Mama Abdul na wenzao hivi karibuni walipata ajali walipokuwa kwenye maandalizi ya filamu hiyo kwenye mbuga ya Saadani.


Staa wa filamu ya Daddy’s Wedding, Yvone Sheryl ‘Monalisa’.

Ajali hiyo ilitokea katika daraja moja dogo mbugani hapo ambapo walikusanyika kwa ajili ya kushuti mojawapo ya vipande vya filamu hiyo mpya, lakini likaporomoka na kuwafanya baadhi yao kuumia na wengine kupata mshtuko mkubwa.



Banana Zoro. “Aliyeumia zaidi ni Sandra lakini alipewa matibabu ya haraka na kuruhusiwa, ila tunamshukuru Mungu tulifanikiwa kumaliza salama na hatukudaiwa chochote,” alisema na kumtaja pia Jenerali Ulimwengu kuwa mmoja kati ya waigizaji walio ndani ya filamu hiyo.

No comments:

Post a Comment