INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Wednesday, February 18, 2015

PAM D KUTIMKIA NIGERIA!


Staa anayekimbiza na Wimbo wa Nimempta, Pam D akiwa katika pozi.

MSANII aliyefunga mwaka kwa shangwe kupitia goma la Nimempata, Pamela Daffa ‘Pam D’ yuko mbioni kutimkia nchini Nigeria, Showbiz linamchongo kamili.

Kwa mujibu wa Pam D, safari hiyo itafanyika ndani ya mwezi huu huku lengo kuu ni kwenda kufanya ngoma na msanii mkubwa mmojawapo nchini humo. “Ninafuraha kwani malengo yangu huenda yakatimia na kuwa msanii wa kike pekee kufanya kolabo na Wanaijeria. Kama mambo yakienda inavyotakiwa basi Watanzania wategemee kumsikia Pam D wa kimataifa,” alisema Pam D.

No comments:

Post a Comment