INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Friday, February 27, 2015

HOSPITALI YA MUHIMBILI NA CLOUDS MEDIA WAFANYA KAMPENI YA KUCHANGIA DAMU




Sehemu ya damu iliyokusanywa baada ya wananchi kuchangia.




Msanii, Kala Jeremiah akisisitiza watu kujitokeza katika kuchangia damu.…


Mtangazaji wa Kituo cha Redio cha EFM, Samira Kiango akichangia damu.


Wafanyakazi wa Clouds Media wakiwa kwenye kampeni ya uchangiaji damu.



Baadhi ya wataalamu wakitoa ushauri na huduma kabla ya kuchangia damu.
Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye foleni.

WAKAZI wa jiji la Dar es Salaam, leo walijitokeza katika zoezi la kuchangia damu kwa ajili ya waathirika na wahitaji wa huduma hiyo.
Zoezi hilo lilifanyika katika Uwanja wa Karume, Ilala jijini Dar es Salaam kwa ushirikiano wa Clouds Media, Hospitali ya Muhimbili, Damu Salama na wadau wengine.

Msanii wa Muziki wa Hiphop, Kala Jeremiah amewahimiza wasanii na wananchi kujitokeza kuchangia damu ili kuokoa maisha ya Watanzania wengi wanaoaga dunia kwa kutokuwa na damu nyingi katika ajali na kwa kina mama wajawazito.

No comments:

Post a Comment