INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Sunday, February 1, 2015

MIAKA 10 YA THT YASHEREHEKEWA KWA MBWEMBWE ZA KILA AINA

NYUMBA ya Vipaji Tanzania (Tanzania House of Talent - THT) jana ilifanya sherehe kubwa ya kutimiza miaka 10 tangu kuanzishwa kwake.

Sherehe hiyo iliyopambwa na shoo kali kutoka kwa wasanii wa THT na wasanii waalikwa, ilifanyika katika Viwanja vya Escape One jijini Dar, na kujaza umati wa mashabiki na wadau wa muziki ambao waliungana na THT katika kusheherekea siku hiyo.


Ben Pol na Jose Mara wakiwa katika picha ya pamoja.


Wadau mbalimbali wakitia saini zao kwenye bango la THT.
Kadja wa THT alikuwepo.

Mwasiti akiwa katika pozi.

Recho akiwa mbele ya kamera.

Mtangazaji wa Star TV, Sauda Mwilima akipozi.
Msanii wa THT, Ditto akipafomu baadhi ya nyimbo zake.
Msanii Peter Msechu akiongoza waimbaji.
Vumilia wa THT akikamua.

Mwasiti akikonga nyoyo za mashabiki kwa sauti yake nyororo.
Barnaba akitumbuiza na Vanessa Mdee.
Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ akituma ujumbe wa burudani.
Zao la THT, Grace Matata, akinogesha sherehe hizo.
Msami ‘akiamshaamsha’.
Amin na Peter Msechu wakiwang’arisha nyota mashabiki wao.
Ndege Mnana, Lina, akiimba kwa hisia.
Mmoja wa wadhamini wa sherehe hizo akimkabidhi mwakilishi wa Ruge Mutahaba, zawadi ya picha ya miaka 10 ya THT.
Msanii Ally Kiba akiwapagawisha mashabiki.
Umati wa mashabiki ukifuatilia sherehe hizo.
Christian Bella akiimba kwa hisia za kufa mtu.

No comments:

Post a Comment