INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Tuesday, July 24, 2012

FILAMU YA SIKU YA MWISHO KUTOKA WIKI HII-666

Source: Ruma Africa & Papa Sam

(Kuhusiana na habari zingine kuhusiana na hii filamu tembelea www.rumaafrica.blogspot.com na www.samsasali.blogspot.com. Tunatakuwa tunakuletea kinachoendelea)

Ile Filamu ambayo inasubiriwa kwa hamu kubwa hususani Jamii Ya Kikristo Ya Siku za Mwisho inakamilika wiki hii na Kabla ya Kuingia Sokoni Mapema Mwezi Ujao.
 
Katika Filamu hiyo ya kibongo ambayo Papaa Ze Blogger amecheza kama Apostle P Nizo, ambaye ni Mtume na Nabii mwenye Kanisa lenye Ishara na Miujiza mingi na Baraka kadha wa Kadha pasipo waumini wa Kanisa hilo kutambua kuwa Apostle Nizo ana "Source Of Power" isiyotoka Juu.
 
Filamu hiyo yenye maudhui ya Kuwakumbusha Wakristo kuhusu Siku Za Mwisho na Kurudi Kwa Yesu Kristo imesheheni Vipaji Lukuki Vya Wakristo Katika kufikisha Ujumbe kwa Jamii.

Hapa ndipo Wanapokuwa kwenye Ibada Zao Wakisali ...Its a Nice Scene

Kushoto kabisa ni Papaa Ze Blogger akicheza Kama Apostle ndani ya Scene hiyo akiwa amevaa tofauti na wengine sababu na nafasi yake katika Impact katika Jamii

Hapa Apostle Nizo Akiwa anafatilia Ibada kwa Unakini Mkubwa ndani ya Chumba Cha Siri

Hapa Papaa Ze Blogger akiecheza Kama Apostle P, akidaka "power'
Apostle P Nizo akiwa na Kisu tayari kwa Ibada Ya Sadaka....Its very interesting Scene

ANGALIA MATUKIO MENGINE KWA KUBOFYA HAPO CHINI

Wakuu Katika Katika Kujipanga Kimkakati Mara baada ya Ibada ya Chumba Cha Siri

Kulia ni Papaa Ze Blogger ambaye amecheza kama Anointed Apostle, Katikati ni Pastor Alex, ambaye amecheza kama Mfanyabiashara mkubwa ambaye pia ni Mzee wa Kanisa Wa Apostle Nizo, na Kushoto Ni Mwanadada amecheza kama Mwanaharakati wa Haki za Wanawake na Mjasiriamali ambaye yuko connected na "chumba cha siri'

Laurence akiwa mwenzake ambaye wamecheza kama Askari wanaokagua magari kama yana sticker ya 666 maana hutaweza nunua mafuta wala kuendesha gari kama haijagongwa 666.

Hawa Watu Watatu wametisha Sana katika Scene hii ya "Chumba Cha Siri" Mpaka Pastor Kaduma Mtunzi wa Filamu hiyo, na Director Wa Filamu hiyo Mr. Mtitu Wakapiga picha na Jamaa

Scene hii Jamaa akiwa ameandaa Part nyumbani kwake ambapo amealika ndugu jamaa na marafiki,

PICHA ZINGINE BOFYA HAPO CHINI PALIPOANDIKWA "Read More"


Wageni Waalikwa Mabibi na Mabwana wakifurahia Chakula nyumbani kwa Mtumishi ambaye baadae atabaki sababu kumbe alidai amebarikiwa na mungu kupata hela kumbe Kapiga EPA.
Shemeji Yangu Edna Luvanda akiwa ndani ya Scene ya Siku za Mwisho, Kulia ni Dorcas Sakani ndani ya Filamu.

Full Kula
Hapa Madaktari wakijiandaa ndani ya chumba Cha Operation kwa ajili ya kumuhudumia mgonjwa

Hapa Wakiendelea na Operation

Kazi Ikaendelea

Daktari Bingwa akiwa Kazini kwenye Scene

Wakiwa Ndani ya Chumba Cha Operation Yesu anarudi na Daktari Bingwa anatwaliwa, sokomoko waliobaki ndani ya Chumba Wamuhudumie Mgonjwa ama Wamtafute Dr. Bingwa waliyetwaliwa.

No comments:

Post a Comment