INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Monday, July 9, 2012

WEMA SEPETU NA JACQULINE WOLPER WATOKA SARE KATIKA PMBANO LAO LA NGUMI

Wema Sepetu na Jacquline Wolper ni wacheza filamu za kibongo hapa Bongo TZ, waliamu kufanya pambano lao la ngumi katika uwanja wa taifa Dar es Salaam kwa lengo wa kuweka sawa uhusiano wao. Pambano lilihudhuliwa na wapenzi wa filamu kibao. Tupia macho yako hapo chini uone ilivyokuwa


Duh ngoja nisepe kidogo, maana hilo konde la Wolper ni balaaa kwangu. Nisije nikaharibu reception bure


Watajuaje kuwa na sisi tunajua ma-sign wa kijanja..Duh lakini sign lako mwenzangu ni noma


Tusepe mwana, wadau wametuona kuwa sisi ni noma...mtu akitutania tunampa konde la usoo..twende zetu


Utanitambua leo, hapa hakuna Script wala action..mkono kwenda mbele

Refa John Chagu asema, no winner, wote wako juu...ni droooooo

No comments:

Post a Comment