INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Saturday, July 21, 2012

MSIBA WA MAMA MDOGO WA JENNIFER KYAKA (ODAMA) KUPELEKWA SHINYANGA

Mwigizaji wa filamu Tanzania, Jennifer Kyaka (Odama) anapenda kuwajulisha marafiki, ndugu na wadau wa blogu yake ya www.odama1.blogspot.com kuwa msiba wa mama yake mdogo aliyefariki Ijumaa 20 Julai 2012 katika hospitali ya Ocean Road utapelekwa Shinyanga na siku ya Jumapili itakuwa ni siku ya kuuaga mwili wa marehemu katika hospitali ya Ocean Road jijini Dar es Salaam kuanzia asubuhi, na baada ya hapo safari itaanza kuelekea Shinyanga. Mungu wangu na awabariki. Ameni

Jennifer Kyaka (Odama)

No comments:

Post a Comment