INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Thursday, July 26, 2012

MWEZI MTUKUFU WAMTEGA NISHA

 Salma Jabu ‘Nisha’.

MSANII kunako anga la sinema za Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ameweka ‘plain’ kuwa yupo katika wakati mgumu kwani Mwezi Mtukufu wa Ramadhan umemtega kwa vile mapenzi yake na jamaa anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu ndiyo kwanza yameanza.
Akijilipua kwa Motomoto Newz, Nisha alisema katika kipindi hiki cha swaumu analazimika kukaa mbali na mwanaume huyo kwa sababu si wanandoa.
“Huu ni mtihani jamani lakini sina jinsi, acha nifunge nisije nikaharibu swaumu yangu bure, ila nitamshauri tukimaliza mfungo anioe kabisa,” alisema Nisha.

No comments:

Post a Comment