INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Wednesday, August 29, 2012

AUNT LULU AIKIMBIA BONGO KUKWEPA MANENO



Lulu Mathias Semagongo ‘Aunt Lulu’.
KATIKA hali ya kushangaza, Mtangazaji maarufu Bongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunt Lulu’ amefunguka kuwa atatimka nchini kwenda kuishi kusikojulikana.

Akizungumza na mwandishi  wetu  jijini Dar, Aunt Lulu alifunguka kuwa ameamua kukimbia mji kwani amechoshwa na manenomaneno ya walimwengu jijini.


“Nimechoshwa kwa kweli na kwa kuwa mipango yangu ya kuchomoka imetimia, acha nitimke Bango angalau nikapumzike kidogo nje ya hapa,”
alisema Aunt Lulu pasipo kutaja anakotimkia.

No comments:

Post a Comment