INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Thursday, August 9, 2012

JACK WA MAISHA PLUS ADONDOKA CHOONI

STAA aliyezalishwa na Maisha Plus Season 2, Jacqueline Dustan (pichani) ambaye hivi sasa anajaribu bahati yake kwenye sinema alipatwa na balaa baada ya kudondoka chooni.
Katika tukio hilo lililojiri hivi karibuni, jijini Dar es Salaam, Jack aliumia goti na kukimbizwa katika Hospitali ya Micco iliyopo Mwananyamala kwa matibabu.
“Siyo mara ya kwanza kuanguka chooni, jambo linalonipa wasiwasi maana nasikia ni ishara mbaya. Namshukuru Mungu kwa sababu bado napumua lakini maumivu hayajaisha, mguu unauma sana,” alisema Jack.

No comments:

Post a Comment