INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Thursday, August 9, 2012

WEMA AFUNGUKA KUWA YEYE NA DIAMOND NI KAMA RIHANNA NA CHRIS BROWN


 
Wema Sepetu.
http://blog.greatlakesmix.com/wp-content/uploads/2012/03/diamond.jpg
Nasibu ‘Diamond’ Abdul.

BAADA ya kubainika kuwa mastaa wa Bongo, Wema Sepetu na Nasibu ‘Diamond’ Abdul wamerudisha uhusiano wao, Wema ameibuka na kuufananisha uhusiano huo na mastaa wa majuu, Chris Brown na Rihanna.
Wema alisema hayo hivi karibuni katika mahojiano yake na Mtandao wa Dar Talk ambapo aliunadi uhusiano wao na kueleza namna unavyofanana na mastaa hao wa mtoni.
“...yaani utadhani Rihanna na Chris Brown vile haya matukio maana juzi nilikuwa Kigoma, nikasikia Rihanna naye ameonekana sehemu na Chris,” alisomeka Wema.

No comments:

Post a Comment